Lamara amamua kujiingiza katika kazi ya kudirest videos (video director)
nimejifunza tu kupitia tutorials na internate na nimenza kwa kuderict ngoma ya banana na young d, na pia ni kwasababu naona video nyingi script zake zinafanana fanana hivyo nataka kuonyesha utofauti , amesema Lamar
Thursday, August 19, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment