Thursday, August 19, 2010

ISSUE KIBAO MTAZIPATA KUANZIA SASA

Mpango mzima ni kwamba mtu weni kiwa kama nilikuwa likizo hv kuwapatia ma-imfo mbali mbali ya maintertinment but no im buck mazeeee wenyewe mtaenjoy kama vp twendeni sambamba follo me uwe mjanja picha ndio limeanza agai its ma boy KIWA MKALI

FID Q AELEKEA MASOMONI MAREKANI



Tarehe 13 august siku ya birthday yake mtu mzima fareed kubanda aka Fid Q amekwea pipa kuelekea nchini marekani kwa masomo ya mda mfupi (mwezi na nusu) ambapo atakuwa akisomea ujasiria mali fid amesema akiwa nchini humu atatembelea states zote akiwa kama balozi wa malaria na atahakikisha safari yake ni ya manufaa kwake na kwa watanzania wengine pale atakaporejea.GOD BLESS YOU BRO
FROM KIWA

PROMOTER WA RAY C..SADAAT AWACHONGANISHA RAY C NA K-LYN






Inasemekana Ray C baada ya kuzinguana na Promota Sadat Muhindi, amejikosesha kiasi cha dola elfu32 za kimarekani, nikukumbushe kidogo
Mwanadada Ray C alisign deal na kampuni inayomilikiwa na Sadat Muhindi na katika mkataba huo alitakiwa kuwa balozi wa Kinywaji cha kuongeza nguvu/Energy Drink kinaitwa Dash, lakini kitumbua kilikuja kuingia mchanga baada ya mtafaruku kutokea baina ya Ray C na Saadat, na mpaka sasa hivi hakuna mwenye uhakika wa nani hasa alikua chanzo cha mtafaruku huo Coz kila upande unasema lake, Ray C anasema chanzo promota huyo alimtaka kimapenzi na yeye Ray C alichomoa, naye Saadat akapinga tuhuma za kumtaka Ray C kingono na zaidi hivi karibuni kwa mujibu wa chombo kimoja cha habari cha nchini kenya kinadai kuwa Promota huyo amdai kuwa Ray C ni teja wa madawa ya kulevya/junkie.
Back to the point ya Mwanadada mwenye kiuno bila mfupa kukosa dola elfu 32 usd,
kwa mujibu cheque iliyoshuhudiwa na chanzo chetu cha habari, Cheque imeandikwa tarehe 6 August na Adonai Enterprises Ltd, mkwanja ulioandikwa $32,000, Drawn to Rehema Yusuf(Ray C)
Promota huyo anasema, hiyo ni deal ya kwanza tu Ray C, na alipanga kumpatia Cheque hiyo, Jumatatu ya wiki iliyopita, (yaani siku mbili kabla hakijanuka kati yao) jamaa anaendelea kusema mkwanja ule ulikua kwa ajili ya Ray C kuji inua kimaisha kama balozi wa kinywaji chake cha Dash.
Saadat ambae ni mwanasiasa wa anaetokea pande za Kitale nchini Kenya, amesema kuwa moja wapo ya vitu walivyokubaliana na Ray C kuwa atakwenda kuchek afya yake Rehab.
(Rehab- ni sehemu ambayo anakwenda mtu aliyezidiwa na matumizi ya kupitiliza ya aina yoyote ya ulevi, na mtu huyo huwa anakwenda hapo ili kusaidiwa ushauri na matibabu ya kuacha ulevi huo)
Wakati huo huo:
Uongozi wa Kampuni inayomiliki Kinywaji cha Dash, umesema kuwa upo katika mazungumzo na mwanadada mwengine kutoka nchini Tanzania K-Lynn, na wakifikia makubaliano K-Lynn atatua nchini Kenya, kwa mujibu wa Kampuni hiyo K-Lynn yuo South Africa, Adonai enterprises wanampango wa kushoot Tangazo la Kinywaji chao kingine na Msanii kutoka Bongo anayejulikana na kama J.I na rapper wa Kenya Kenrazy na litafanyika kabla ya september.

C PWAAAA AANIKA VITU 25 USIVYOVIJUA KUHUSU YEYE


CPWA AKIWA NA WAZAZI WAKE


PICHANI NI CPWAA ENZI ZAKEE






Real name Ilunga Khalifa Born in 1982, March 2nd, mtoto wa kipekee wa Sophia Ali na Khalifa Juma.Mama Msukuma, Baba Mrangi.

Nilianza mziki toka mwaka 1995 nikiwa naimba kwa lugha ya kiingereza tuu! My biggest role model then were Kriss kross, N.W.A, Cypress Hill, Guru, Wu-Tang Clan, House of Pain,MC Hammer, Michael Jackson, Vanilla Ice,Shaba ranks, Sade,Salt n paper,Tribe called Quest,Nas, Jeru da maja, and Boot Camp click .
Nilikuwa bingwa wa Rap kanda ya kusini mwaka 1999 nikashinda zawadi ya TSH 30,000 pale ukumbi wa NBC Mbeya chini ya TBL. Balozi wa Sprite na Cowbell milk mwaka 1998-1999 Mbeya.
Nilimaliza na kufaulu Mbeya secondary School ( Mbeya day) kwa division 1. Mwaka 1999 kutoka darasa la Science 1.
Nishawahi kupokea kichapo kutoka kw PINA wa KIKOSI CHA MIZINGA ( sababu=Confidential) na leo ni washkaji na tunaishi sehemu moja, Block 41.
kujua zingine tembelea www.cpwa.blogspot.com

KUNDI LA WAGOSI WA KAYA LIMEKUFAA???/?




Msanii mkongwe anaewakilisha jiji la tanga ambae pia alikuwa mwenyeji wa fiesta jipanguse mkoani tanga, Dr John ametangaza rasmi kuvunjika kwa kundi la wagosi wa kaya ikiwa na wasanii wawili yeye pamoja na mkoloni lililokuwa likifanya vizuri miaka ya nyuma.
Dr john amesema sababu hasa za kujitoa katika kundi hilo ni kuwa limekua likeendeshwa kipuuzi puuzi bila kuwepo na ushirikiano kabla ya chochote kufanyika na kwasasa anaangalia mambo mengine ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kuinua wasanii chipkizi wa tanga akiwemo mwanae anaitwa Josephine "phine".
aidha akaendelea kusema kuwa urafiki wake na mkoloni bado uko pale pale lakini sio kwenye kazi.

LAMAR AZAMIA SOKO LA MUSIC VIDEO

Lamara amamua kujiingiza katika kazi ya kudirest videos (video director)
nimejifunza tu kupitia tutorials na internate na nimenza kwa kuderict ngoma ya banana na young d, na pia ni kwasababu naona video nyingi script zake zinafanana fanana hivyo nataka kuonyesha utofauti , amesema Lamar

LLOYD BANKS AIPA SHAVU TANZANIA NDANI YA PINI LAKE JIPYA ANY GIRL



Lloyd Banks - Any Girl lyrics

HEBU CHEKI MASHAIRI YA HIYO NGOMA APA CHINIII..



[Intro:] [Lloyd Bank$:] Uh! Turn me up!


[Lloyd:] Wuddup Lloyd?


[Lloyd Bank$:] Huh?


[Lloyd:] Hahaha! [beat starts]


[Lloyd Bank$:] YEAH!


[Lloyd:] Long time in the making, huh?


[Lloyd Bank$:] I- I got 'em like! Like...


[Lloyd Bank$ {Lloyd}]


Uh! - L. Bank$, baby balla of the year! (year!)


Got about nine, ten dimes and all of 'em is here (here!)


It don't matter, cause before the night is done I disappear ('pear!)


Tell my new one I'm leavin outta' the side, meet me there! {Oooh, yeeeah! }


Yeah! - Weed and bottles everywhere (ugh!)


Metal fulla' hollows, I don't mind a petty stare! (nah!)


I don't need a favor, baby; I'm a millionaire!


Got a show hoppin' outta the leer in Tanzania. {Ooohh-ooohh-oooohhhh! } (Tanzania!)


You ain't gettin' nuthin', you ain't gettin' money! {you ain't gettin' money! } (money!)


Money make a Mack more; more Henny, more honeys! {more Henny, more honeys! }


Hundred dolla billz; fifty dolla billz, keep the 20's {keep the 20's! } (20's!)


Dummy, I'm a go-getta', bitter - old nigga; spitter! {Oohhh, yeeeeeah! }


Gold-digger, couldn't dig yaself a chip?


Dig yaself a hole, told 'em I was cold from the rip! (rip!)


Zero, zero man, need more of those in my shit! (shit!)


Hoes in my whip, Mo(et) 'till I'm sick! - I'm rich!


[Chorus: Lloyd]


Ladies, they love me!


They' eyes are on my moneyy!


They pay me and I stunt


And I can have any girl I want!


[Bridge: Lloyd (Lloyd Bank$)]


(I got 'em like!) Go shawty! Go shawty, go!


Go shawty! Go shawty, go! (I- I got 'em like!)


Go shawty! Go shawty, go!


Go, go, go, go!


[Lloyd Bank$ {Lloyd}:]


Ugh! - Black "Beamer", blue "Benz", red "Bentley" (yeah!) {Oooohhhhh! }


Audemar sporter y'all; all o' y'all petty! (petty!)


Heavy metal hangin' chain danglin' on me while I'm boppin' {yeeeeahhhh! }


I can - see the whole crowd watchin' while we rockin'. (whooo-whhhoooo!)


Coppin' - bottle-poppin', pop a cork like a sport (ugh!)


Hit a hater in the nose when I open my Rosé! {got it? }


LV's and G's all over my clothes {got! }


Bank rolls everywhere Bank$ goes, she ain't yours. (she ain't yours!) {ooooohhhhhh! }


As far as flows, mine's like an automatic (pow, pow!)


Mack-11 or dumb-dumb'll quiet all the static! {ooooohhhhh, yeah! } (sh, sh!)


I gotta' habit! - I'm fuckin' like an addict


Area code scattered from the way I +Work Magic+! (uuuuh-ooooooh!)


So tragic, nigga run up on me wrong {run up on me wrong! } (wrong!)


Grown ass whippin bout 2:30 in the morn'! {2:30 in the morn'! } (morn'!)


Cases of white brown and bottles of the Dom {battles of the Dom! } (Dom!)


The chron-chron and girls on my arm, it's on! (yeah!)


[Chorus: Lloyd]


Ladies, they love me (love me!)


They' eyes are on my money! (my moneyyyyyy!)


They pay me and I stunt (and I stunt)


And I can have any girl I want! (any girl I waaaaaaaant!)


[Bridge: Lloyd (Lloyd Bank$)]


(I got 'em like!) Go shawty! Go shawty, go!


Go shawty! Go shawty, go! (I- I got 'em like!)


Go shawty! Go shawty, go!


Go, go, go, go!


[Hook 1: Lloyd]


Go shawty! - Lemme' see you go shawty!


Show me all the things you do with' yo' body!


Baby this is yo' party!


Come and get this dough from me, - shawty!


[Chorus: Lloyd]


Ladies, they love me, (looove me!)


They' eyes are on my money! (my moneyyyyyy!)


They pay me and I stunt (and I stunt!)


And I can have any girl I want. (any girl I waaaaaaaant!)


[Bridge: Lloyd {Lloyd Bank$}]


{I got 'em like! } Go shawty! Go shawty, go! (Gooooooooo!)


Go shawty! Go shawty, go! {I- I got 'em like! } (Gooooo-ooooooo!)


Go shawty! Go shawty, go!


Go, go, go, go! (Oooooooooooh, yeeeaaaahhhhh!)


[Hook 2: Lloyd Bank$]


Shawty got a thang for me (thang for me!)


She wanna put that thing on me (thing on me!)


Show me what you got girl! (what you got girl!)


Dough, I got alot girl! (alot girl!)


[Outro: Lloyd]


Shawty won't you go?


Go, oh-ohhhh!


Shawty goo, ohh-ohhh!