Saturday, February 21, 2009

HUYU NDIO 2PAC MAZEEEEEEEE.CHECH ZE HISTORY




Tupac Shakur

Maelezo ya awali
Pia anajulikana kama
2Pac, Makaveli
Amezaliwa
Kigezo:Birth dateEast Harlem, Manhattan,New York City, New York,Marekani
Asili yake
California, Marekani
Rapper, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji, mtayarishaji wa rekodi, mshairi, mwandikaji muswaada andishi, mwanaharakati
Tupac Amaru (16 Juni 1971 -na akafariki 13 Septemba, 1996) alikuwa mwigizaji, mwanaharakati wa haki za binadamu, na pia mwanamuziki maarufu wa muziki wa hip hop kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama 2Pac. Ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop waliouza rekodi nyingi za muziki dunia.
Huyu alikuwa mtoto wa Afeni Shakur, ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Black Panther Party. Mama yake Tupac alitolewa jela mwezi mmoja kabla ya kumzaa Tupac. Tupac alikufa mnamo tar. 13 Septemba katika mwaka wa 1996 baada ya kupigwa risasi akiwa anaendesha gari mjini Las Vegas, Nevada, siku saba kabla kifo chake.
Mara nyingi aliitwa 2Pac, Pac, Makaveli na pia mwenyewe akajiita The Don Kiluminati. Tupac, pia alishawahi kuishikiria Guinness World Record kwa kuwa na mauzo ya juu sana kwa msanii wa muziki wa rap/hip hop. Alipata mauzo takriban milioni 74 kwa hesabu ya dunia nzima na milioni 44 kwa mauzo ya Marekani pekee.

No comments:

Post a Comment