Thursday, August 19, 2010

KUNDI LA WAGOSI WA KAYA LIMEKUFAA???/?




Msanii mkongwe anaewakilisha jiji la tanga ambae pia alikuwa mwenyeji wa fiesta jipanguse mkoani tanga, Dr John ametangaza rasmi kuvunjika kwa kundi la wagosi wa kaya ikiwa na wasanii wawili yeye pamoja na mkoloni lililokuwa likifanya vizuri miaka ya nyuma.
Dr john amesema sababu hasa za kujitoa katika kundi hilo ni kuwa limekua likeendeshwa kipuuzi puuzi bila kuwepo na ushirikiano kabla ya chochote kufanyika na kwasasa anaangalia mambo mengine ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kuinua wasanii chipkizi wa tanga akiwemo mwanae anaitwa Josephine "phine".
aidha akaendelea kusema kuwa urafiki wake na mkoloni bado uko pale pale lakini sio kwenye kazi.

LAMAR AZAMIA SOKO LA MUSIC VIDEO

Lamara amamua kujiingiza katika kazi ya kudirest videos (video director)
nimejifunza tu kupitia tutorials na internate na nimenza kwa kuderict ngoma ya banana na young d, na pia ni kwasababu naona video nyingi script zake zinafanana fanana hivyo nataka kuonyesha utofauti , amesema Lamar

LLOYD BANKS AIPA SHAVU TANZANIA NDANI YA PINI LAKE JIPYA ANY GIRL



Lloyd Banks - Any Girl lyrics

HEBU CHEKI MASHAIRI YA HIYO NGOMA APA CHINIII..



[Intro:] [Lloyd Bank$:] Uh! Turn me up!


[Lloyd:] Wuddup Lloyd?


[Lloyd Bank$:] Huh?


[Lloyd:] Hahaha! [beat starts]


[Lloyd Bank$:] YEAH!


[Lloyd:] Long time in the making, huh?


[Lloyd Bank$:] I- I got 'em like! Like...


[Lloyd Bank$ {Lloyd}]


Uh! - L. Bank$, baby balla of the year! (year!)


Got about nine, ten dimes and all of 'em is here (here!)


It don't matter, cause before the night is done I disappear ('pear!)


Tell my new one I'm leavin outta' the side, meet me there! {Oooh, yeeeah! }


Yeah! - Weed and bottles everywhere (ugh!)


Metal fulla' hollows, I don't mind a petty stare! (nah!)


I don't need a favor, baby; I'm a millionaire!


Got a show hoppin' outta the leer in Tanzania. {Ooohh-ooohh-oooohhhh! } (Tanzania!)


You ain't gettin' nuthin', you ain't gettin' money! {you ain't gettin' money! } (money!)


Money make a Mack more; more Henny, more honeys! {more Henny, more honeys! }


Hundred dolla billz; fifty dolla billz, keep the 20's {keep the 20's! } (20's!)


Dummy, I'm a go-getta', bitter - old nigga; spitter! {Oohhh, yeeeeeah! }


Gold-digger, couldn't dig yaself a chip?


Dig yaself a hole, told 'em I was cold from the rip! (rip!)


Zero, zero man, need more of those in my shit! (shit!)


Hoes in my whip, Mo(et) 'till I'm sick! - I'm rich!


[Chorus: Lloyd]


Ladies, they love me!


They' eyes are on my moneyy!


They pay me and I stunt


And I can have any girl I want!


[Bridge: Lloyd (Lloyd Bank$)]


(I got 'em like!) Go shawty! Go shawty, go!


Go shawty! Go shawty, go! (I- I got 'em like!)


Go shawty! Go shawty, go!


Go, go, go, go!


[Lloyd Bank$ {Lloyd}:]


Ugh! - Black "Beamer", blue "Benz", red "Bentley" (yeah!) {Oooohhhhh! }


Audemar sporter y'all; all o' y'all petty! (petty!)


Heavy metal hangin' chain danglin' on me while I'm boppin' {yeeeeahhhh! }


I can - see the whole crowd watchin' while we rockin'. (whooo-whhhoooo!)


Coppin' - bottle-poppin', pop a cork like a sport (ugh!)


Hit a hater in the nose when I open my Rosé! {got it? }


LV's and G's all over my clothes {got! }


Bank rolls everywhere Bank$ goes, she ain't yours. (she ain't yours!) {ooooohhhhhh! }


As far as flows, mine's like an automatic (pow, pow!)


Mack-11 or dumb-dumb'll quiet all the static! {ooooohhhhh, yeah! } (sh, sh!)


I gotta' habit! - I'm fuckin' like an addict


Area code scattered from the way I +Work Magic+! (uuuuh-ooooooh!)


So tragic, nigga run up on me wrong {run up on me wrong! } (wrong!)


Grown ass whippin bout 2:30 in the morn'! {2:30 in the morn'! } (morn'!)


Cases of white brown and bottles of the Dom {battles of the Dom! } (Dom!)


The chron-chron and girls on my arm, it's on! (yeah!)


[Chorus: Lloyd]


Ladies, they love me (love me!)


They' eyes are on my money! (my moneyyyyyy!)


They pay me and I stunt (and I stunt)


And I can have any girl I want! (any girl I waaaaaaaant!)


[Bridge: Lloyd (Lloyd Bank$)]


(I got 'em like!) Go shawty! Go shawty, go!


Go shawty! Go shawty, go! (I- I got 'em like!)


Go shawty! Go shawty, go!


Go, go, go, go!


[Hook 1: Lloyd]


Go shawty! - Lemme' see you go shawty!


Show me all the things you do with' yo' body!


Baby this is yo' party!


Come and get this dough from me, - shawty!


[Chorus: Lloyd]


Ladies, they love me, (looove me!)


They' eyes are on my money! (my moneyyyyyy!)


They pay me and I stunt (and I stunt!)


And I can have any girl I want. (any girl I waaaaaaaant!)


[Bridge: Lloyd {Lloyd Bank$}]


{I got 'em like! } Go shawty! Go shawty, go! (Gooooooooo!)


Go shawty! Go shawty, go! {I- I got 'em like! } (Gooooo-ooooooo!)


Go shawty! Go shawty, go!


Go, go, go, go! (Oooooooooooh, yeeeaaaahhhhh!)


[Hook 2: Lloyd Bank$]


Shawty got a thang for me (thang for me!)


She wanna put that thing on me (thing on me!)


Show me what you got girl! (what you got girl!)


Dough, I got alot girl! (alot girl!)


[Outro: Lloyd]


Shawty won't you go?


Go, oh-ohhhh!


Shawty goo, ohh-ohhh!

Saturday, August 8, 2009

OYOOOOOOOOOOOOO.UNAMJUA KIWA?

HUYU NDIEEEEEEEEEE KIWA MKALIWANAAAAAAAAAA

NINAE DRIVE BLOG HIIIIIIIIIIIII

MMENISOMAAAAAAAAAAAAAAAAAA..................................?

Wednesday, July 1, 2009

Unamjua fresh Che Guevara?








1. Pamoja na historia ya kuwa jamaa alikuwa akipigania uhuru wa Cuba, hakuwahi kuwa raia wa nchi hiyo, alizaliwa Argentina lakini pia hakuwa na asili ya nchi hiyo, Wazazi wake ni raia wa Ireland. So Che alikuwa Muairish.

2 Wakati huo mtu akiitwa 'Che Guevara' ilikuwa ikimaanisha kuwa mtu huyo anaweza kuwa mtu mzuri au mbaya, baadhi ya watu walikuwa wakimwita jina hilo wakimaanisha mpiganaji lakini wengine walimwita hivyo wakimaanisha muuaji.

3. Jina lake la utani lilikuwa Chacho ambalo kwa hapa bongo angeitwa nguruwe, Suala la kuoga kwa Che Guevara lilikuwa mtihani mkubwa. shati na suruali zake alivaa kwa wiki nzima.

4. Hakuwa akipigana kwa njaa na kukosa elimu, aligraduate masomo ya udaktari mwaka 1953. Alitokea katika familia ya kitajiri tofauti na wapiganaji wengi tunaowasoma leo katika historia.

5. Baada ya harakati alikuwa akiweka silaha chini na kutumia mikono hiyo kulea watoto wake, Che alikuwa baba wa watoto watano, mtoto wa kwanza alimzaa na mke wake wa kwanza Hilda Gadea na wengine aliwazaa na mwanamke mwanamapinduzi, Aleida March.

6. Bolivia wanamtukuza wakiamini kuwa Che ni nabii, huko Cuba sura yake ipo kwenye dola tatu na mashuleni kila siku asubuhi watoto hula kiapo wakisema "tunataka kuwa kama Che".

7.kubwa kuliko yote ni kwamba Che alikuwa akipendwa na watu wengi nchini cuba lakini idadi hiyo ililingana na ya watu wanaomchukia.

Tuesday, June 23, 2009

HUYU NDIYE ANDRU G.


Andrew George Mwaijibe anayetokea kwenye nyumba ya vipaji (THT), anayekuja kwa kasi sana kila kukicha katika medali ya muzik wa kizazi kipya. Namzungumzia mtu mzima anayesumbua sana na hit song yake aliyofanya na Mh. Temba[Jinsi alivyo]. Andrew mwenye uwezo wakupiga vyombo mbalimbali vya mziki, mwenye voco kali na pia anasema yeye anaonekana vizuri kisanii.Anaplan ya kudondosha album soon inayoitwa NIPE NAFASI, itakayokuwa na nyimbo 10 huku video ya Jinsi Alivyo ikiwa on da plate an kabla hata awja nunua ablum. Andrew amefanya video na Kampun ya Visul Lab

Thursday, April 2, 2009

KILICHO MKIMBIZA DUNGA BONGO


Yule Producer mkali aliyekuwa akifanya kazi na studio za 41 Records...aaitwaye Ambros Nkwabi a.k.a 'Dunga'..amerejea nchini kwao Kenya baada ya miaka mitatu mfululizo kupiga kazi za kufa mtu ndani ya Dar.
Akiongea na KIWA MKALI hivi karibuni Producer huyo ambaye hatasahaulika kwa kazi zake bomba,amesema tayari ameshaanza kufanya pini za ukweli na wasanii wa huko kwao akimshirikisha kaka yake aliyemtaja kwa jina la Shakii.Habari hizo zimekuja huku kukiwa na taarifa zilizozagaa jijini kuwa..kilichomkimbiza producer huyo ni kuexpire kwa kibali chake cha kufanyia kazi Bongo....huku wahusika maswala hayo wakimgomea kumuongezea muda mwingine.